hotleague House for Sale in Kimara_Korogwe – Pichanyumba

House for Sale in Kimara_Korogwe Dar es Salaam

140,000,000 TZS
SKU:P/2020/PN2
Property type:House
Rooms
9
Bathrooms
3
Bedrooms
4

The space

  • Land Size: 950 Sq Ft
  • Year Built: 2020
  • :

Amenities

  • Built in wardrobes
  • Ceiling fans
  • Common Bathroom
  • Dining room
  • Electric door Car Parking
  • Electricity
  • Garden
  • Heating
  • Indoor Kitchen
  • Outdoor Kitchen
  • Playground
  • Sitting room
  • Utility room
  • Water (DAWASA)
  • Water tank

Description

HOUSE FOR SALE IN KIMALA KORONGWE

MAHALI :

Kimala/ Korogwe Ukitokea mjini unashuka kituo cha Korogwe na unapanda na barabara ya rami ya Maji chuvi kutoka barabara kuu ya Morogoro Road inachukua dakika 15 kufika kwenye nyumba ukitumia usafri wa gari.

SIFA ZA NYUMBA: 

Nyumba iko ndani ya fensi ina vyumba 4 na kati ya hivyo viwili ni Master bedrooms, Jiko lenye muundo wa Open kitchen na sehemu ya kulia (dinning), Sebule ( Sitting room ) Kwa upande wa nje utakutana na nyumba dogo yenye chumba na Choo pia na jiko la nje na inauwanja wa kutosha wenye bustani ya majani na mti mmoja wa mwembe. Bila kusahau geti lake ni la Umeme ( remote control )

HATI MILIKI : Ipo kwenye maombi

HUDUMA ZA KIJAMII:

  • Maji ( dawasa) ✔︎
  • Umeme ( Tanesco ) ✔︎
  • Soko ✔︎
  • Kanisa ✔︎
  • Shule ✔︎

Wasilina nasi kupita +255 788 145 810  kupata maelezo zaidi ya bei na mambo mengine yanayo husiana na nyumba hii.

 

WhatsApp chat